ZIARA YA NAIBU WAZIRI MWANAIDI ALI KHAMIS MJINI BUKOBA

Picha zote na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini WAMJW Na Mwandishi Wetu, Bukoba Serikali imesema haitavumilia sababu zinazokwamisha Wazee kupata huduma ya matibabu kama ilivyo katika miongozo na maelekezo ya viongozi kuhusu huduma kwa Wazee nchini. Naibu Waziri wa Afya, Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii, Mhe. Mwanaidi Ali Khamis amesema hayo mjini Bukoba Mkoani Kagera